Matukio mbalimbali kwenye mkutano huo.
Sehemu ya Wananchi wa Lamadi, Busega mkoani
Simiyu waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni wa Mgombea wa nafasi ya Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, tarehe 09 Oktoba, 2025.
Mgombea wa nafasi ya Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM)
Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimkabidhi ilani ya uchaguzi mgombea.
0 Comments